Friday 25 March 2011

UONGOZI WA VODACOM WATEMBELEA VYOMBO VYA HABARI

 Mkurugenzi wa IPP media Joyce Mhavile akifafanua jambo kwa Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania Dietlof Mare , Mkurugenzi Mahusiano wa Vodacom Mwamvita Makamba mara walipotembelea IPP media group leo kwa ajili ya kujenga mahusiano ya kufanya kazi kwa pamoja.

 Baadhi ya wageni wa Vodacom Tanzania na viongozi mbalimbali wa Africa Media group wakiangalia jinsi matangazo yanavyorushwa kwenye radio ya Magic FM.

Mtendaji Mkuu wa New habari Hussen Bashe akimuonyesha Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania Dietlof Mare wapili toka kushoto jinsi wanavyoaanda habari kwenye magazeti yao ,mara walipotembelea New habari kwa ajili yakuweka mahusiano mazuri ya kufanya kazi pamoja,kushoto Mkurugenzi wa mahusiano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba,kulia Mtaalamu wa mambo ya habari wa Vodacom Matina Nkurlu.
 

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors