Thursday 24 March 2011

TASWIRA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR

 
Msajili wa vyama vya siasa, John Tendwa akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais, Fatma Ferej nje ya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi jana(Picha na Hamad Hija,MAELEZO Zanzibar)


  
Mawaziri wa SMZ, Kulia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha uchumi na mipango ya maendeleo,Omar Yussuf Mzee akiwa na Waziri wa Afya, Juma Duni Haji wakiwa nje ya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi leo Mjini Zanzibar wakitazama ujumbe mfupi wa simu waliotumiwa.(Picha na Hamad Hija, MAELEZO Zanzibar)

1 comment:

Anonymous said...

テストステロンは5αーDHAに変化するのです。若い男性の睾丸ではどんどんテ
ストステロンが作られます。 スロット 無料 アプリ ループストック2つくらいあっての話でようやく3000枚くらい行く

GEITA DOCUMENTARY

Contributors