Saturday 28 August 2010

Uchaguzi Mkuu 2010

Hapa nikiwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga Mr. Mgeja

Nikiwaimbisha wapiga kura wa Bukombe mkoa wa Geita ili wanipe kura

Nilingia mahali hapa na kumuomba Mungu

Vicky Kamata akiwa katika picha ya pamoja na wapiga kura wake Mkoa wa GEITA
BIG UP!! NOAH kwa kazi nzuri mkoa wa GEITA

Vicky Kamata akipeleka ushindi kwa Bibi

Vicky Kamata akiwa haamini mara baada ya kutangazwa mshindi wa kwanza Viti Maalum mkoa wa Geita,akiwa pamoja na wapiga kura wake
Vicky  akibadilishana  mawazo na bibi na mama  mdogo
 Nikiwashawishi akina mama hawa kunipigia kura zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya uchaguzi Viti Maalum

GEITA DOCUMENTARY

Contributors