Thursday 7 July 2011

AJIRA KUONGEZEKA MTWARA NA LINDI

Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. William Ngeleja
amesema uwekezaji unaoendelea hivi sasa katika mikoa ya kusini ni kiashiria kizuri juu ya kukua kwa uchumi wa mikoa hiyo na hasa katika bandari ya Mtwara.
Alikuwa akitoa ufafanuzi huo kuhusu uamuzi wa kampuni ya Petrobas ya Brazili kuweka meli yake katika bandari ya Mtwara wakati ikifanya kazi ya utafiti wa mafuta na gesi katika pwani ya Mtwara hadi Mafia.

VURUGU ZA POLISI NA WAMACHINGA KATIKA JIJI LA MWANZA

 Jeshi la Polisi lilipowasili kwa ajiri ya kutuliza ghasi

 Wamachinga wakibinua gari iliwalichome moto

 Gari aina ya Canter likiteketezwa kwa moto


Hii ni barabara ya Rwagasore ndio vurugu zilikuwa kubwa sana eneo hili

Wednesday 6 July 2011

HAPPY BIRTHDAY GLORY





Leo o6/o7/2011 ni birthday ya mtoto Glory ametimiza miaka 5..... ur friend Titi and his bro Fini, kaka Revo na Mama Glory (Mhe.Vicky Kamata) wanakutakia BIRTHDAY NJEMA............ Api Birthday Gal

JK NA KAZI ZA MAENDELEO YA MIUNDOMBINU MKOANI KIGOMA

Rais Jakaya Kikwete na Mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Joseph Simbakalia(kulia) wakati wa sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Kidahwe- Uvinza kwenye kijiji cha Kazuramimba.

MALIPO YA RADA KUJERESHWA

 Spika wa Bunge la Tanzania  Mhe.Anne Makinda(katikati) akipokea taarifa ya marejesho ya malipo ya rada kutoka kwa Naibu Spika Mhe. Job Ndugai(kulia) aliyeongoza timu ya wajumbe kwenda Uingereza kujadili marejesho hayo yatakavyofanyika. kushoto ni Mbunge wa Ilala Mhe. Azzan Zungu

Naibu Spika Mhe.Job Ndugai(aliye simama) akiongea na waandishi wa habari

AFRICAN TOUCH IN DAR




Ilikuwa Dar es Salaam Fashion Festival ambako kulikuwa na maonyesho ya fashion mbalimbali na hizi African Touch ni za hapa hapa bongo zimetengenezwa na watanzania.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors