Tuesday 7 January 2014

HALI YA AFYA YA MTOTO JEREMIA ANAYELELEWA NA VICTORIA FOUNDATION INAZIDI KUIMARIKA "TUZIDI KUMUOMBEA".

Na Steven Mruma..

    Hali ya mtoto Jeremia anayelelewa na VICTORIA FOUNDATION inazidi kumarika baada ya madaktari kuufanyia uchunguzi mguu wake walioufanyia upasuaji wa kuweka vyuma mguuni miezi michache iliyopita, kuonyesha hali ya matumaini ya kupona. Akizungumza kwa furaha Jeremia aliomba watanzania wazidi kumuombea hali yake iimarike zaidi kwani inachangia kumrudisha nyumba kimasomo.
    Lakini kwasasa Jeremia anafurahia hali hiyo baada ya mguu wake huo kumsumbua kwa miaka kadhaa sasa bila matumaini ya kupona, Lakini Leo madaktari wamedhibitisha kuwa hali yake inaendelea vizuri na kuna matumaini makubwa sana ya kupona. Jeremia ni Moja kati ya watoto wanofadhiliwa [kulelewa] na Victoria Foundation.
M/kiti wa Victoria Foundation Mh. Vicky Kamata [kushoto] Jeremia [katikati] na Dr. Fulvio Franceschi ambaye ni MD. Orthipaedic Surgeon hospitali ya CCBRT

Jeremia [kushoto] na Dr. Fulvio Franceschi ambaye ni MD. Orthipaedic Surgeon hospitali ya CCBRT
Dr. Fulvio Franceschi ambaye ni MD. Orthipaedic Surgeon hospitali ya CCBRT, Jeremia na Dada Maria aliyemfanyia dressing Jeremia wakati alipokuwa Hospitali CCBRT.

Dada Maria aKImfanyia dressing Jeremia wakati alipokuwa Hospitali CCBRT.
Dr. Fulvio Franceschi ambaye ni MD. Orthipaedic Surgeon hospitali ya CCBRT Akichunguza kwa makini mguu wa mtoto  Jeremia.

Dr. David wa CCBRT Akiufanyia  X-Ray mguu wa Jeremia
Picha ya X-Ray ikiuonyesha mguu ulivyo sasa kwa ndani...

HAPPY BIRTHDAY MWIGULU NCHEMBA MPIGANIA HAKI ZA WANYONGE..


    Leo ni siku ya kuzaliwa mbunge wa Iramba Mwigulu Chemba ambaye pia ni Naibu katibu mkuu wa CCM. Vicky Kamata blog inamtakia maisha marefu na mafanikio mema katika ujenzi wa Taifa la Tanzania.. 

NA HAYA NI MANENO YA SHUKRANI YA MWIGULU NCHEMBA KWA WALIOMTUMIA SALAM ZA SIKU YA KUZALIWA.
     " Napenda Kuwashukuru Wote Mlionitumia Salamu za Siku ya Kuzaliwa Kwangu.Nimefarijika sana,nimetambua Salamu Za Kila mmoja wenu,Kujibu ni nyingi mno(Zaidi ya Elfu 5).Kwa Umoja wenu nasema "ASANTENI SANA,UMOJA NI USHINDI" tuendelee kushirikiana,kukosoana kwa hoja,Urafiki wa Amani na Upendo Udumu Daima."
Mh. Mwigulu Nchemba..

    CV YA MH. MWIGULU LAMECK NCHEMBA KWA UFUPI.

GENERAL
Salutation Honourable Member picture
First Name: Mwigulu
Middle Name: Lameck
Last Name: Nchemba
Member Type: Constituency Member
Constituent: Iramba Magharibi
Political Party: CCM
Office Location: Box 52 Kiomboi, Iramba
Office Phone: +255 878 513446/+255 757 946223
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: mnchemba@parliament .go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 7 January 1975
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
University of Dar Es Salaam Masters(Economics) 2004 2006 MASTERS DEGREE
University of Dar Es Salaam Degree (Economics) 2001 2004 GRADUATE
The East African Uongozi Institute Management 2002 2003 CERTIFICATE
Mazengo Secondary School A-Level Education 1998 2000 HIGH SCHOOL
Ilboru Secondary School O-Level Education 1994 1997 SECONDARY
Makunda Primary School Primary Education 1987 1993 PRIMARY
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From To
The Parliament of Tanzania Member - Iramba West Constituency 2010 2015
The Bank of Tanzania Economist I 2006 2010
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member - UVCCM National Meeting 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member - National Executive Committee (NEC) 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member - District Youth Board 2001

GEITA DOCUMENTARY

Contributors