Friday 12 December 2014

PICHA: KIKAZI ZAIDI MH. VICKY KAMATA AKIWANADI WAGOMBEA WA UONGOZI WA NGAZI MBALIMBALI ZA KIJIJI NA KITONGOJI GEITA.


      Kazi ya kuwanadi wagombea wa ngazi mbalimbali za uongozi wa serikali za mitaa inaendelea jimboni Geita na kama ilivyo ada Mbunge wa Viti maalum Mh. Vicky Kamata Yupo kuhakikisha wenyeviti wa vijiji na viongoji pamoja na wajumbe wa serikali ya kijiji na viti maalum wote wanaogombea kupitia  CHAMA CHA MAPINDUZI wanashinda kwa kishindo.
   NA HIZI NI BAADHI YA PICHA WAKATI WA UFUNGUZI WA KAMPENI TARAFA YA KASAMWA

ALIPOWASILI TARAFA YA KASAMWA


MH VICKY AKIWA NA VIONGOZI WA CHAMA WILAYA YA GEITA

SEHEMU NDOGO YA WANACHAMA NA WAKEREKETWA WA CHAMA CHA MAPINDUZI WA TARAFA YA KASAMWA WALIOJITOKEZA KATIKA UFUNGUZI WA KAMPENI

MH. VICKY AKIZINDUA KAMPENI TARAFA YA KASAMWA AMBAPO MAMIA YA WANACHAMA WALIHUDHURIA MKUTANO HUO WA KAMPENI.

HAPA MWENEZI MASELE ALIPOKUA AKIMKARIBISHA KUZINDUA KAMPENI

JESHI LA CCM

VIJANA WA KITANZANIA WAFANYA MAONYESHO YA VITU MBALIMBALI YANAYOTAMBULISHA NCHI YA TANZANIA

Picha na Mkamba Mbonea [China]
Imeandikwa na  Steven Mruma

        Mwishoni mwa mwezi november kulifanyika maonyesho ya vitu mbalimbali vinavyo wakilisha mambo mbalimbali ya kitamaduni na kijamii yanayoitambulisha nchi husika, vijana waki Tanzania nao walisiriki kwa kuonyesha vitu mbalimbali vinavyoitambulisha Tanzania katka medani za kimataifa kama picha alizonitumia mmoja wa washiriki katika maonyesho hayo Ndugu Mkamba Mmbonea.

Hapa rais wa chuo cha East China Normal University akimkabidhi kitabu maalum Rais J. M. Kikwete
Viana hao wakiwa na rais wa chuo cha East China Normal University











GEITA DOCUMENTARY

Contributors