Saturday 25 January 2014

WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI GEITA WATENGEWA MAENEO YAO YA KUCHIMBA MADINI.

Steven Mruma.
     Wachimbaji wadogo wa madini Geita wametengewa maeneo yao ka ajili ya kuchimba madini ili nao waweze kupata pesa za mahitaji muhimu ya kijamii,, eneo la uchimbaji wa madini waliliopatiwa limetoa furasa ya vijana wengi kujiajiri katika machimbo hayo.

Mh. Vicky alipowatembelea wachimbaji wadogo wa madini Geita


Mh. Akiangalia jinsi hatua za kupata madini zinavyofanyika

Picha ya pamoja na vijana waliojiajiri katika maeneo ya kuchimba madini waliyotengewa

Mh. Vicky akitoa ushauri kwa vijana waliokuwepo eneo hilo la madini
vifaa  mbalimbali vinavyotumuka kuchambua madini

vijana kazini kutafuta madini

GEITA DOCUMENTARY

Contributors