Wednesday 18 January 2012

Viongozi na Mamia ya wananchi waaga mwili wa marehemu Mh. Regia Mtema

Mwili wa Marehemu Regia Mtema Ukiingizwa katika viwanja vya Karimjee tayari kwa kutoa heshima za mwisho na kuuaga kabla ya kuelekea Ifakara kwa maziko..










Heshima za mwisho zikitolewa kwa Mwili wa Marehemu Regia Mtema

Monday 16 January 2012

REST IN PEACE REGIA

Victoria Foundation na timu yake inatoa salamu za rambirambi kwa Familia,Wananchi wa Ifakara na Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA)  kwa kifo cha Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Taifa, Mheshimiwa Regia Mtema ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum na Waziri Kivuli wa Kazi na Ajira kilichotokea tarehe 14 Januari 2012 kwa ajali ya gari katika eneo la Ruvu darajani.

     "Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi,Amen"

GEITA DOCUMENTARY

Contributors