Friday 15 July 2011

MAELFU WAKIMBIA MASHAMBULIO YA NIGERIA

Maelfu ya raia wa Nigeria wanakimbia eneo la Maiduguri kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kufuatia mashambulio ya hivi karibuni, yaliyoua takriban watu 40.

Baadhi yao ni wanafunzi wakiondoka baada ya chuo kikuu kufungwa.
Askari karibu na eneo lilipotokea mlipuko
Mashambulio hayo yamefanywa na kundi lenye msimamo mkali, Boko Haram, linalopinga elimu ya kimagharibi.

WAFANYAKAZI WA BBC KUGOMA

Waandishi habari wengi wanaohudumu katika Shirika la Utangazaji la Uingereza, BBC wameanza mgomo wa siku moja kulalamikia mpango wa kuwaachisha kazi baadhi yao.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors