Tuesday 16 August 2011

WAPALESTINA WATOROKA MIZINGA YA SYRIA

Umoja wa mataifa unasema kuwa maelfu ya Wapalestina wanakimbia kutoka kwenye kambi moja ya wakimbizi iliyo karibu na mji wa bandari wa Latakia nchini Syria. Kambi hiyo imekuwa ikishambuliwa kwa makombora na jeshi la Syria kwa siku ya tatu mfululizo.

Watu wasiopungua 30 wameripotiwa kuuwawa tangu jumamosi ambapo vikosi vya serikali vilianza kutekeleza harakati hizo za kijeshi kutoka ardhini na baharini. Msemaji wa Umoja wa Mataifa Christopher Gunness, ameiambia BBC kwamba takriban nusu ya wakimbizi kwenye kambi hiyo yenye watu elfu kumi wanaukimbia mji huo.

 Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Arusha, Namelok Sokoine, baada ya kuvishwa mgolole wa kimasai na dada wa Mbunge wa Monduli, Kalaine Lowasa (wakwanza kulia) baada ya kuwasili Monduli. wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Lino International Agency, mwaandaaji wa shindano hilo, Hashim Lundenga.


 Baadhi ya warembo wanaoshiriki shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011, wakiwa wamevalia vazi maalum livaliwalo na wanawake wa jamii ya Kimasaai wakati warembo hao na wenzao walipotembelea eneo la Snake Park mkoani Arusha. Warembo wa Vodacom Miss Tanzania wapo Kanda ya Kaskazini kutembelea vivutio mbalimbali vya Utalii vilivyopo katika mikoa hiyo.


Blessing Ngowi, mshiriki wa shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011, akiwa amejivisha nyoka shingoni huku wenzake wakimwangalia wakati warembo hao na wenzao walipotembelea eneo la Snake Park mkoani Arusha. Warembo wa Vodacom Miss Tanzania wapo Kanda ya Kaskazini kutembelea vivutio mbalimbali vya Utalii vilivyopo katika mikoa hiyo.



WASANII WA BONGO MOVIE WATEMBELEA DODOMA




 Baadhi ya wasanii wa bongo movi walipokutana na Mhe.Vicky Kamata mjini Dodoma.
            Kanumba na Deo
        Mhe. Kamata katika picha ya pamoja na msanii wa bongo movie Kanumba
Steven Kanumba pamoja na Mamu.

HAPPY BIRTHDAY WAZIRI MKUU MHE.MIZENGO PINDA

 Happy Birthday Hon. Mizengo Pinda

 
 Hii ndo keki ya Birthday ya Mhe. Pinda
 Mhe. Pinda akikata keki.   
 Baadhi ya wabunge waliodhuria hafla hiyo kutoka kushoto ni Mhe.Vicky Kamata na Mhe. Rita Kabati
 Wabunge waliodhuria sherehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa Waziri Mkuu.
 Kutoka kushoto ni Mhe Rita Kabati, Mhe Jenista Muhagama, Mhe Vicky Kamata pamoja na Mhe.Faida
 Kutoka kushoto ni Mhe. Mary Nagu na Mhe.Sophia Simba nao walikuwepo katika hafla ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Waziri Mkuu Mhe.Pinda
Kutoka kushoto Mhe.Rita Kabati, Mbunge viti maalum Mhe.Neema, Mhe.Jenista Muhagama, Mhe.Faida  pamoja na Mhe.Vicky Kamata
Kutoka kushoto ni Mhe.Sophia Simba, Mhe.Vicky Kamata na Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda
 
Kulia ni Mhe.Rita Kabati, Mhe.Anne Makinda na Mbunge wa viti maalum Neema pamoja na Mhe. Jenista Muhagama

 Wafanyakazi katika ofisi ya Waziri Mkuu wakimpongeza Mhe. Pinda
 Mhe. Kamata akisalimiana na mama Tunu Pinda.
 Spika wa Bunge mama Anne Makinda akitoa mkono wa pongezi kwa Waziri Mkuu Mhe. Pinda.


GEITA DOCUMENTARY

Contributors