Friday 1 February 2013

NAPE AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO ILAGALA KIGOMA


 













Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye akiangalia matunda ya Mchikichi ambayo yanachemshwa katika mapipa kwaajili ya kukamua mafuta ya mawese katika Kijiji cha Ilagala, Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma.
 












Wana CCM wa Igalula wakiwa katika kikao cha ndani na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.













Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye akikagua maendeleo ya ujenzi katika Kituo cha afya Ilagala.
 Nyumba ya Daktari wa Ilagala
 
Wakazi wa Ilagala wakimsikilaza Nape Nnauye













 Nape akihutubia wakazi wa Ilagala ambao walitoa kilio chao kuwa ni mgogoro wa ardhi baina ya Kijiji na Magereza .

Habari na ccmblog

BREAKING NEWS: JAHAZI LAZAMA HUKO NUNGWI LIKIWA NA ABIRIA 32.


Jahazi la SUNRISE ambalo lilikuwa likitokea Mkoani Tanga kulekea visiwani Zanzibar ikiwa na abiria 32 limezama jana eneo la Nungwi huku jitihada za kuwaokoa abiria hao zikiendelea kufanywa na maafisa wa uokoaji mpaka sasa.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors