Thursday 3 April 2014

KAMA ULIKUA HUMJUI MAMA YAKE MH. VICKY KAMATA NA BIBI NA BADHI YA NDUGU ZAKE HAWA HAPA.. NA CHAKULA CHAO KIKUBWA NI HIKI HAPA.

   Na Steven Mruma

   Pata fursa ya kuwfahamu ndugu wa Mh. Vicky kamata kwa picha.. lakini pia fahamu ni chakula gani wanapendelea kula. `Unaweza kushangaa kuona bado wana afya njema kabisa na huonekana wachangamfu kabisa, hii inatokana kula vyakula vingi vya asili, kama ugali wa mtama, ugali wa muhogo, mboga za majani kwa wingi na samaki. 

Huyu ni Mama mzazi wa Mh. Vicky Kamata na hapo alipo ni Sengerema

Huyu ni Bibi yake M.h. Vicky

Huyu pia ni Bibi Yake Vicky
Na Huyu ni mjomba wake na nadhani si mgeni kwenye macho ya wengi anaitwa Revocatus Makonge, kama ulikua msikilizaji mzuri wa REdio Tanzania na TBC Taifa hili jina utakua umewai kuliskia sana hasa siku za jumapili.

Hapa ni Sengerema tulipomtembelea mama yake Mh. Vicky na huyo ni Vicky mwenyewe akiongea na wazazi wake

Mh. Vicky akisikiliza jambo kwa makini kutoka kwa mjomba wake Makonge hayupo pichani
Hapa ni Kibamba na huyu ni Bibi yake mzaa Baba huyu ndio Mama Kamata mwenyewe

Hapa ni Mr.& Mrs nanilii.. Bibi yake mzaa baba akiwa na mume wake wasasa [ Steven Mruma]

Hii ndionyumba wanayoishi baadhi ya ndugu zake waliopo Sengerema hasa Bibi zake na wajomba pamoja na wadogo zake Mh. Vicky

Hiki ndicho Chakula wanachopendelea sana kula mara kwa marabila shaka unavijua vyakula hivyo vinaitwaje...


Wednesday 2 April 2014

ANGALIA PICHA TULIPOTEMBELEA SHAMBANI KWA WAZIRI MKUU MH. MIZENGO PINDA NA MAMA PINDA HUKO ZUZU DODOMA PAMOJA NA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR NA MKEWE BI ASHA SEIFwAZIRI MKUU AKIONGEA N

Waziri mkuu akiongea na wanakijiji wa Zuzu Dodoma

Mh. Vicky akijichagulia mazao shambani kwa waziri mkuu

Baadhi ya Viongozi wengine waliokwenda kutembelea shambani kwa waziri mkuu. Mh. Charles Kushoto na Mh. Ole Sendeka Kulia

Sehemu ya shamba la waziri mkuu

Makamu wa pili wa Rais Zanziba Balozi Seif Iddi, waziri mkuu Mizengo Pinda na Mh. Ole Sendeka wakijadili jambo shambani kwa waziri mkuu.



Waziri mkuu akiangali mazao shambani kwake pamoja na Balozi Seif  Iddi ambaye ni makamu wa pili wa rais Zanzibar.

Balozi Seif Alli Idi akiAngalia mazao shambani kwa waziri mkuu

Baada ya kutembelea shamba tulikua na mapunziko na kupata vinywaji na chakula.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors