Thursday 24 March 2011

BALOZI WA NORWAY NCHINI ATEMBELEA OFISI ZA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU RAIS - MUUNGANO

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano Samia Suhulu Hassan akiwa na balozi wa Norway nchini Tanzania Ingunn Klepsvik katika picha ya pamoja baada ya mazungumzo yao ya changamoto za muungano na mabadiliko ya katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania na serikali ya Umoja wa Kitaifa, ofisisni kwake jijini Dar es Salaam.


Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano Samia Suhulu Hassan akizungumza Balozi wa Norway nchini Tanzania Ingunn Klepsvik kuhusu masuala ya serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar. (picha na Ali Meja)

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors