Thursday 19 September 2013

PICHA ZA BIRTHDAY PARTY YA VICKY KAMATA.

[Repoted By Steven Mruma]  
  Tarehe 18 septemba ni Birthday ya Mbunge wa viti maalum Geita Mh. Vicky Kamata, katika siku hiyo ilifanyika paty ya Kumpongeza iliyofanyika nyumbani kwa Shangazi yake Tabata na kisha sherehe hiyo kuhamia Karambezi Sea Cliff Hotel.

   Picha za party iliyofanyika Tabata

zawadi ya keki kutoka kwa Glory
Kata keki tule

Glory akimlisha Mama Keki

Mama akimlisha mwanae Glory Keki



Mambo yalikuwa ni kugonga Chears
Chears, Kutoka Kulia Marry Anicet, na Wadogo Zake Enock Calvin Na Jona

Part ikahamia Karambezi Sea Clif Hotel 

Keki iliyoandaliwa na Sea Clif Hotel
Akifurahia Zawadi kutoka kwa Marafiki zake, Caro Mushi, Rita Mmuya, na Grace Machangu.
Picha Nzuri, akifurahia zawadi kutoka kwa Waheshimiwa Wenzake
"Kata keki tulee"
Caroh Mushi.
Naibu waziri wa Ujenzi Mh. Lwenge

Marafiki zake wapendwa, Naibu waziri wa Maendeleo ya jamii jinsia na watoto Mh. Ummy Mwalimu na Mbunge wa vijana Mh. Neema Hamidi.
Rita Mamuya wa Benki Kuu [wa kwanza kulia] na weheshiwa Wabunge na Manaibu waziri.

Wakiwa katika furaha
Akipokea zawadi kutoka kwa marafiki. kutoka kushoto ni Mh. Dr. Charles Tizeba Naibu waziri Uchukuzi, Mh. Ummy Mwalimu, Mh. Neeama Hamid, Mh. Lazaro Nyarandu Naibu waziri Maliasili na Utalii [haonekani pichani]. na Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Lwenge wa kwanza kulia.
Wakifurahia pamoja
 Mbunge Viti Maalum Geita Mh.Vicky Kamata Aliyezaliwa Leo
Mh.Ummy akifuurahi

Dada Yetu Grace Machangu mwenye tabasamu
Dada yetu Caroh Mushi na Tabasamu zito
Naibu waziri Ujenzi Mh. Lwenge
Mh. Dr Tizeba
Mh. Neema Hamid







PICHA NNE ZA BIRTHDAY PART YA NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO Mh. UMMY MWALIMU.

          Hivi karibuni kulifanyika Party ya kumpongeza Naibu waziri wa Wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto Mh, Ummy Mwalimu  katika siku yake ya Kuzaliwa. Party Hiyo iliofana ilifanyika katika ukumbi uliopo Dodoma Hotel.

      VICKY-KAMATA BLOG INAMPONGEZA MH UMMY MWALIMU KATIKA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA PIA INAMUOMBEA AWE NA MAISHA MAREFU YENYE BARAKA NA
AMANI.








HALI YA MTOTO ANAELELEWA NA VICTORIA FOUNDATION YAENDELEA VIZURI BAADA YA KUFANYIWA UPASUAJI

     Hivi karibuni mtoto Jeremia Julius alifanyiwa upasuaji wa mguu katika hospitali ya CCBRT na hali yake kwa sasa inaendelea vizuri. Upasuaji huo umedhaminiwa na VICTORIA FOUNDATION ambo pia kupitia mfuko wa VICTORIA FOUNDATION ndio inayomlea na kumsomesha Jeremia pamoja na watoto wengine. Akiongea akiwa hospitali hapo mtoto Jeremia alisema anajiskia vizuri na hali yake inaendelea vizuri.. aliyasema hayo alipotembelewa na Mh. Vicky Kamata ambaye ndiye Muanzilishi wa Victoria Foundation.



Mtoto Jeremia Julius

Jeremia Julius [wa pili kutoka kushoto] mmoja kati ya watoto wanaolelewa na Victoria Foundation pamoja na watoto wengine wanaolelewa na Foundation hiyo na Mh Vicky Kamata katika picha ya pamoja.

Wednesday 18 September 2013

IKIWA LEO NI SIKU YA KUZALIWA VICKY KAMATA: VICTORIA FOUNDATION YAMPONGEZA.


     Ikiwa leo ni Tarehe 18/09/2013 ambayo pia ni siku ya kuzaliwa ya Mbunge wa Viti maalum Geita Mh. Vicky Kamata VICTORIA FOUNDATION Imempongeza kwa kutimiza miaka kadhaa siku ya leo.. katika
Foundation hiyo ambayo kazi yake ni kusaidia watoto walemavu, yatima na wenye shida mbalimbali, Kwapamoja wamempongeza kwa kuwalea vizuri na kuwapa msaada mkubwa ambao umefufua matumaini yao ya kupata elimu na maisha bora..
    Pamoja na pongezi hizo kutoka VICTORIA FOUNDATION pia wafanyakazi wa Mh. Vicky kamata ndugu jamaa na marafiki wamemtakia kila la kheri na kumombea Baraka tele na pia Kumuombea kwa MUNGU akampe maisha marefu yenye mafanikio. 
    Katika maadhimisho hayo pia Mh. Vicky Kamata ametoa Zawadi kwa watoto wanaolelewa na VICTORIA FOUNDATION pia kwa wafanya kazi wake pomoja na baadhi ya ndugu na marafiki zake..

 
VICKY-KAMATA BLOG PIA INAMPONGEZA KATIKA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA PIA 
 INAMUOMBEA MAISHA MAREFU YENYE BARAKA KUTOKA KWA MUNGU ALIE HAI.



HAWA NI BAADHI YA WATU MASHUHURI WALIOZALIWA SIKU NA TAREHE KAMA YA LEO.

Vicky Kamata

    Ronaldo  
    Ronaldo De Lima
    Jada Smith
    Jada Smith
    Lance Armstrong
    Lance Armstrong
    James Gandolfini
    James Gandolfini
    Xzibit  
    Xzibit
    Frankie Avalon
    Frankie Avalon
    Angela Simmons
    Angela Simmons

GEITA DOCUMENTARY

Contributors