Saturday 7 April 2012

CHANZO CHA KIFO CHA KANUMBA HIKI HAPA



KWA MUJIBU WA MDOGO WA MAREHEMU STEVE KANUMBA, ALISEMA KUWA ELIZABETH MICHAEL  MAARUFU KAMA LULU ALIKUJA NYUMBANI KUKAWA NA KAUGOMVI AMBAPO WAKAINGIA CHUMMBANI WAKIWA HUKO BAADA YA MUDA,LULU ALITOKA NA KUMUITA YEYE  KUMUAMBIA KANUMBA KAANGUKA, YE ALIPOENDA AKAMKUTA KAANGUKA NDIO AKAENDA MUITA DAKTARI WA KANUMBA AMBAPO ALIPORUDI HAKUMKUTA LULU, LAKINI  HADI TUNAVYOONGEA LULU YUKO POLISI OSTERBAY KWA AJILI YA MAHOJIANO NA POLISI

HAPPY EASTER WISHES TO ALL..

Easter bring Fun, Easter bring Happiness,

Easter bring God Endless Blessings,  


Easter bring fresh love…


Happy Easter to You


with all best wishes

REST IN PEACE STEVEN KANUMBA 'The Great'



Muigizaji maarufu wa filamu za kibongo Steven Kanumba A.K.A Kanumba The Greit amefariki dunia usiku wa manane kuamkia leo, na maiti iko muhimbili. kwa taarifa zilizopo ni kuwa msiba upo Sinza maeneo ya Vatican, ukifika Vatican Hotel umefika msibani. sababu za kifo chake hazijathibitishwa. stay with us kwa habari zaidi.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI. AMEN


Jina la kuzaliwaSteven Charles Kanumba
Alizaliwa8 Januari 1984ShinyangaTanzania
Kafariki6 Aprili 2012Dar es SalaamTanzania
Kazi yakeMuigizajiMtunziMtayarishajiMuongozaji

MAISHA
Na ameanza elimu ya msingi katika shule ya Bugoyi, na kuendela na masomo ya sekondari huko Mwadui na baadae kupata uhamisho katika shule moja ya jiji Dar es Salaam iitwayo Dar Christian Seminary. Alivyomaliza kidato cha nne akaendelea na masomo ya kidato cha tano na sita katika shule ya sekondari ya Jitegemee

Shughuli za uigizaji

Kanumba ameanza shughuli za kuigiza miaka mingi kwenye miaka ya "90". Ila kufahamika zaidi alianza mwaka 2002 mara tu baada ya kujiunga na kundi la sanaa ya maigizo maarufu kama Kaole Sanaa Group.
Kwa sasa ameanza kutangaza sanaa nchi za Afrika ya Magharibi ikiwemo Nigeria na pia Wanigeria wamependezewa na uigizaji wake hivyo kushirikiana pamoja naye katika filamu kadha wa kadha. Filamu ambazo wameshawahi kushirikiana pamoja ikiwemo na ile ya Dar to LagosShe is My Sister na nyingine ambazo bado zinajengwa.Hivi sasa amejibebea umaarufu mkubwa nchini Tanzania na amekuwa kipenzi cha wengi na amekubalika karibuni nchi zote za Afrika Mashariki na maziwa makuu.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors