Wednesday 23 March 2011

JK ATEITEMBELEA OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA

 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na watendaji waandamizi wa ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma jijini Dar es Salaam, wakati wa ziara yake katika ofisi hiyo kwa ajiri ya kujionea utekelezaji wa malengo mbalimbali
Rais Jakaya Kikwete akizungumza na watendaji wa ofisi hiyo, Rais aliwaagiza kuharakisha zoezi la kuhakikisha watumishi wa umma nchini koteili kuokoa fedha za umma zinazopotea kutokana na mishahara hewa na wahusika kuchukuliwa hatua. (picha zote naVicent Tiganya wa Maelezo

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors