Thursday 27 September 2012

WALIMU KORTINI KWA WIZI WA MITIHANI


WALIMU wanne wa Shule ya Msingi Hamkoko na msimamizi mmoja wa mitihani, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza kwa tuhuma za wizi wa mtihani wa taifa wa darasa la saba, huku Jeshi la Polisi likiendelea kumtafuta mwalimu mwingine aliyetoroka.

Monday 24 September 2012

TULE VIZURI KUEPUKA MAGONJWA



MAGONJWA mengi yasiyoambukiza yakiwemo shinikizo la damu, kisukari na moyo huwaandama wananchi wengi kutokana na ulaji wa vyakula usiofaa pamoja na kutofanya mazoezi.
Hayo yalibanishwa jijini Dar es Salaam jana na Rais wa Chama cha Wauguzi nchini (TANNA), Ntuli Mwambingu, alipozungumza na waandishi wa habari alipokuwa akizungumzia mkutano mkuu wa chama hicho utakaofanyika kati ya Septemba 26 na 28 mwaka huu mjini Morogoro, wenye kauli mbiu ‘changamoto wanazopata wauguzi katika kuhudimua wagonjwa wenye magonjwa yasiyoambukiza’.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors