Thursday 16 March 2017

VICTORIA FOUNDATION YATILIANA SAINI NA YAMOTO BAND KATIKA KUFANIKISHA PROGRAM YA "FOR THEM"

Na Steven Mruma


       Leo mkurugenzi na mwenyekiti wa Victoria Foundation ametiliana saini mkataba wa pamoja wa kuanikisha program maalum ya  "FOR THEM" na kundi la muziki wa kizazi kipya la Yamoto Band. Mkataba huo utawezesha kuhamasisha na kufanikisha program maalum kwa ajili ya watoto yatima wajane pamoja na waemavu. Mkataba huo umetiwa saini Jijini Dar es salam katika ofisi zaVictoria Foundation kati ya mwenyekiti wa Victoria Foundation na mbunge wa viti maalum mkoa wa Geita Mh. Vicky Kamata Likwelile na Kiongozi wa Yamoto Band.





GEITA DOCUMENTARY

Contributors