Wednesday 23 March 2011

MIILI YA WASANII WA 5 STAR YAWASILI DAR JANA

 Mwili wa marehemu Issa Kijoti ukiwa tayari kwa mazishi katika makaburi ya Mtoni Sabasaba usiku wa jana mara baada ya kuwasili kutoka Morogoro.

 Mwili wa marehemu Issa kijoti ukishushwa kwenye gari baada ya kuwasili.

 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Emmanuel Nchimbi akihojiwa na wanahabari kutoka vyombo mablimbali wakati wa kupokea miili hiyo.

 Mkurugenzi wa ASET Asha Baraka na nyuma ni yake ni mkurugenzi wa Screen Master wakipokea miili ya marehemu.

Miili ya wanamuziki wa five star ilipo wasili jana usiku.

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors