Monday 28 June 2010

Albam 10 na Miaka 10 ya African Stars 'Twanga Pepeta'


Mwanamuziki mwalikwa katika bonanza la mafanikio ya albamu 10 na kutimiza miaka 10, tangu kuanzishwa kwa bendi ya African Stars 'Twanga Pepeta' Ramadhani Masanja 'Banza Stone' (kushoto) akienda sambamba kiongozi wa bendi hiyo, Lwiza Mbutu wakati wa bonanza hilo lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club, jana.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors