Picha kwa hisani ya princeminja.blogspot.com
Thursday 26 July 2012
Wednesday 25 July 2012
PICHA ZA MATUKIO YA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA MNAZI MMOJA LEO !!!
Monday 23 July 2012
BREAKING NEWS:WAZIRI HAMAD MASOUD AJIUZULU KUFUATIA AJALI YA MELI YA MV SKAGIT
Waziri wa mawasiliano na miundombinu Zanzibar Mheshimiwa Hamad Masoud – CUF amejiuzulu rasmi wadhifa huo ili kuwajibika kisiasa baada ya tukio la ajali ya MV Skagit.
Kufuatia hatua hiyo Raisi wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dr Ali Mohamed Shein amemteua mwakilishi wa jimbo la Ziwani – CUF kushika nafasi hiyo
PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI MJINI BEIJING-CHINA
Mh. Vicky Kamata akiwa na Dr.Behnam Tai ambaye ni Director wa AUS-HS Australia,ambaye pia alikuwa ni mfanyakazi wa United Nations(UN-Habitat).Mbali na wadhifa huo Dr Behnam Tai ni Professor katika chuo cha NEW SOUTH WALES,Sydney.Na ndiye alikuwa coordinator wa ziara hii mjini Beijing
Kutoka kushoto ni Mr. Jacob Mayalla,Mh. Vicky Kamata, Dr Behnam Tai na Mh. Suma ambaye ni mbunge wa Tabora mjini
Mh. Vicky Kamata akiwa katika picha ya pamoja na Dr. Behnam Tai na Ms. Shirley ambaye ni mmoja wa Coordinators wa AUS-HS Beijing,China
Mh Mfutakamba(kushoto) akiwa na kijana wake Hamisi Mfutakamba anayesomea Engineering mjini Beijing katika picha ya pamoja na Mh Vicky Kamata
Kutoka kushoto ni Mr. Jacob Mayalla,Mh. Vicky Kamata, Dr Behnam Tai na Mh. Suma ambaye ni mbunge wa Tabora mjini
Mh. Vicky Kamata akiwa katika picha ya pamoja na Dr. Behnam Tai na Ms. Shirley ambaye ni mmoja wa Coordinators wa AUS-HS Beijing,China
Mh Mfutakamba(kushoto) akiwa na kijana wake Hamisi Mfutakamba anayesomea Engineering mjini Beijing katika picha ya pamoja na Mh Vicky Kamata
Subscribe to:
Posts (Atom)