Monday 14 June 2010

Changia Damu,Okoa Maisha..


Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Biafra wakiwa katika picha ya pamoja na timu ya wahamasishaji katika sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wachangia Damu Duniani.


Mmoja wa wachingiaji damu akiwa amekaa tayari kwa ajili ya kuchangia damu katika maadhimisho ya Wachangia Damu Duniani ambayo hufanyika kila tarehe 14/06.Kitaifa Kanda ya Mashariki yalifanyika katika viwanja vya Biafra Kinondoni-DSM.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors