Friday 3 August 2012

MAHAKAMA YASITISHA MGOMO WA WALIMU


WALIMU nchini wazidi kubanwa baada ya mahakama Kuu ya Tanzania, Kitengo cha Kazi imesitisha mgomo wa walimu na kuwataka kurudi kazini mara moja.

Mahakama hiyo pia imeuagiza uongozi wa Chama cha Walimu (CWT) kuandaa taarifa kwa umma, kutangaza kusitishwa kwa mgomo huo kama walivyowatangazia wanachama wake wakati ulipoanza.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors