Saturday 19 May 2012

TANESCO NA POLISI WAZUNGUMZA KUHUSU MADENI


 WAKATI Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) likiwa limetangaza opresheni ya kuwakatia umeme polisi nchi nzima, wahasibu wa jeshi hilo mkoani Kilimanjaro walikuwa katika mazungumzo mazito na shirika hilo ili kuangalia namna ya kuepusha dhahama hiyo.
Habari zilizopatikana jana mchana zilisema Mhasibu wa Polisi mkoani Kilimanjaro na mwenzake wa Chuo cha Polisi, walikuwa katika mazungumzo hayo.


Thursday 17 May 2012

REST IN PEACE PATRICK MAFISANGO


MCHEZAJI Patrick Mafisango wa timu ya Simba ya Dar es Salaam amefariki dunia leo kwa ajali ya gari katika eneo la Tazara jijini Dar es Salaam. Taarifa ambazo zimetolewa kutoka Klabu ya Simba zimesema Mafisango amefariki dunia leo asubuhi kwa ajali ya gari maeneo ya Tazara.
  Victoria Foundation pia inatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na klabu nzima ya Simba kwa pigo hilo.

Monday 14 May 2012

               CHILDREN IS NATION'S ASSET:


VICTORIA FOUNDATION IS VERY ENTHUSIASTIC THAT CAN INSTIGATE THE SOCIETY TO EMPOWER OUR BELOVED CHILDREN BY GIVING THEM GOOD EDUCATION TO ELIMINATE VULNERABILITY  OF ENGAGING TO UNACCEPTABLE ACTIVITIES SUCH AS PROSTITUTION, ROBBERY , CHILDREN EMPLOYMENT AND DRUGS.

           PLEASE LETS DO IT TOGETHER FOR GOD'S SAKE



 NOWADAYS THERE ARE SO MANY CHILDREN SCATTERED ALL OVER THE COUNTRY, AND THE SOCIETY LOOKS SILENT, ANYWAY VICTORIA FOUNDATION INSTIGATES THE SOCIETY TO DO SOMETHING FOR THESE  CHILDREN. HONESTLY THE PICTURE SHOWS HOW CHILDREN ARE DOING ON OUR STREETS.






TO ALL PEOPLE WHO LIKES TO SEE OUR FUTURE SOCIETY IN GOOD SHAPE DEFINATELY WILL HATE SO COME ACCROSS WITH SUCH A SITUATION TO OUR CHILDREN, VICTORIA FOUNDATION IS AMONG THE FIGHTERS TO ELIMINATE CHILDREN FULNERABILITY.



VICTORIA FOUNDATION ENCOURAGES THE SOCIETY TO MAINTAIN OUR CULTURE WHICH DOES ALLOW THIS TYPE OF DRESSING.





VICTORIA FOUNDATION HELPS TO EMPOWER CHILDREN BY SPONSORING SOME IN PRIMARY AND SECONDARY SCHOOLS, PLEASE LETS DO IT TOGETHER TO AVOID STREET FIGHTERS LIKE HOW THE ABOVE PICTURE SHOWS.


ONE OF THE OBJECTIVES AND GOALS OF VICTORIA FOUNDATION IS TO FULFIL CHILDREN DREAMS, PLEASE LOOK CAREFUL TO THE ABOVE BOY'S T-SHIRT.



SUCH FIGHT CAN HAPPENED TO OUR SOCIETY, BUT WHAT SHOULD BE DONE TO MINIMISE OR AVOID IT? VICTORIA FOUNDATION THINKS THE SOCIETY SHOULD INVEST TO OUR CHILDREN DEFINATELY WHEN THEY GROW UP WILL BE BUSY WORKING RATHER FIGHTING ON THE STREETS.

IF THE SOCIETY AVOIDS EMPOWERING CHILDREN BY NOT GIVING GOOD EDUCATION, THUS WE WILL BE PREPARING CONFUSED, DRUG USERS AND LAZY SOCIETY INSTEAD OF BUILDING OUR POOR NATION.  

ON MOTHER'S DAY..

 Mamas day at Feza boys high school, having good time with my kids. 
 Eric, Revocatus and Glory

GEITA DOCUMENTARY

Contributors