Friday 6 December 2013

R.I.P. NELSON ROLIHLAHLA (MADIBA) MANDELA, AMAZING MAN WHO CHANGED HISTORY IN SOUTH AFRICA.

      Na Steven Mruma wa www.stevenmruma.blogspot.com

      Makala hii maalum inahusu maisha ya aliyekuwa rais  wa Afrika Kusini Nelson Mandela aliyefariki dunia usiku wa kuamkia tarehe 6/12/2013  baada ya kuugua kwa muda mrefu.

     Makala hii imeandikwa kwa lugha ya kiingireza lakini unaweza kuitafsiri kwenda lugha uipendayo ikiwemo kiswahili kwa Wenzangu watanzania, Makala hii itawafikia watu wengi dani na nje ya nchi ambao wengi hupata urahisi zaidi kutafsiri kutoka kiingereza kuliko lugha nyingine kama kiunganishi cha dunia. 

     Katika makala hii utakutana na maisha halisi aliyopitia Mzee Mandela katika harakati za kuikomboa Afrika Kusini maisha ya jela na jinsi alivyofanikiwa kuwa Rais wa Afrika kusini nk. sasa endelee


     Nelson Rolihlahla (Madiba) Mandela is an amazing man who changed history in South Africa and brought democracy to the nation. Nelson Mandela was born on 18 July 1918 at Qunu, near Umtata in South Africa. His father was the Chief Councillor to the Superior Chief of the Thembu. As a young boy, he was being prepared to take over as the Chief of the Thembu. With the death of his father in 1930, he was placed under the care of his guardian and cousin, David Dalindyebo, the acting Chief of the Thembu.
      While at home, a prepared marriage was being set up for him. To avoid getting married, Mandela and his cousin Justice moved to Johannesburg where he worked temporarily as a night watchman as he wanted to be a lawyer.In Johannesburg, Mandela met Walter Sisulu who assisted him in finding employment as articled clerk with a legal firm. When he completed his BA degree by correspondence in 1941, Mandela enrolled at the University of the Witwatersrand for an LLB.
The ANC (African National Congress)
     Together with Walter Sisulu and Oliver Tambo, Nelson Mandela helped in founding the African National Congress Youth League (ANCYL) in 1944. By 1948 he was holding the position of National Secretary. In 1949 the African National Congress (ANC) supported the 'Programme of Action' handed in at their annual conference. The more radical members such as Mandela and Sisulu were elected to the program.
      Mandela and Sisulu did not trust other racial groups, but Mandela’s views changed during the 1952 Defiance Campaign. Mandela was made the National 'Volunteer-in-chief' of the Defiance Campaign. As part of his duties he moved around South Africa signing up volunteers who were prepared to break apartheid laws. As their first sign of defiance against Apartheid, Mandela and 51 volunteers started breaking the curfew rules.In December 1952, Mandela and Oliver Tambo opened the first Black legal partnership in the country. In the same month, Mandela and some other activists were charted under the Suppression of Communism Act. Mandela was sentenced to nine months' imprisonment with hard labour, suspended for two years.

Over a period of nine years he was put under banning orders. In this time he was also made the Deputy National President of the ANC. Even though he was not allowed to attend the meetings of the ANC, he worked with small groups of the ANC members. Nelson Mandela played a major role in the constructing of the 'M Plan' (named after him). The plan formulated the grouping of ANC members to cope with underground activity. Renewed bans made it imperative for Madiba to resign from the ANC in September 1953. From that point Madiba had to lead secretly, except during the year of the Treason Trial.In December 1956 Mandela and 155 political activists were arrested and charged with High Treason. Almost five years later, Justice Rumpff found all of the accused not guilty. In the late 1950s Mandela became National President of the ANC Youth League. By 1959 the treason trial was still in progress. In the same year, the ANC planned an anti-pass laws campaign. The campaign was displaced when the Pan Africanist Congress (PAC), arranged mass anti-pass protests on 21 March 1960.

HIVI NDINYO UVCCM TAIFA WALIVYO ADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIA VIWANJA VYA BIAFRA KINONDONI

    Tamasha kubwa lililoandaliwa na UVCCM Taifs lililofanyika katika viwanja vya biafra kinondoni Jijini Dar es salaam lilikua la aina yake baada ya kutoa hamasa kubwa kwa jamii hasa vijana ambao pia walijitokeza kwa wingi katika tamasha hilo ambalo mgeni rasmi alikuwa M/kiti wa UVCCM Taifa Mh. Sadifa ambaye alipima virusi vya UKIMWI na kutoa hamasa ya vijana wengi kujitokeza kupima ili kujua afya zao.
    katika tamasha  pia lilisindikizwa na  wasanii maarufu wa bongo fleva waliotoa burudani nzuri ambyo ilikuwa ni kivutio kikubwa katika tamasha hilo.


Bango lililotangaza tanasha hilo
Meza kuu wakifuatilia burudani kwa umakini
Wanachi wakifuatilia tamasha hilo kwa makini katika viwanja vya Biafra
Wananchi wakifurahia moja kati ya burudani zilizokuwa zikitolewa na wasanii mbalimbali
Mh. Sadifa akipima virusi vya UKIMWI huku akiwa mwenye furaha na amani
Msanii Barnaba akitoa burudani
Recho akitoa burudani
Msanii Recho akitoa burudani.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors