Friday 23 March 2012

Marekebisho ya Anuani ya Victoria Foundation


Victoria Foundation inapenda kuomba radhi kwa makosa ya uchapishaji
Yaliyofanyika katika graphic iliyotumika kwenye blog ya Issa Michuzi
Kutoa shukrani kwa Wafadhili wa Victoria Foundation tarehe 22.03.2012
Katika graphic hiyo inaelekeza kimakosa kuwa ofisi zetu zipo Uhuru Street
Mnazi Mmoja.Taarifa sahihi ni kwamba ofisi zetu zipo Nkrumah Street,
LIDA HOUSE, 2nd Floor.

    "TUNAOMBA RADHI KWA USUMBUFU WOWOTE ULIOJITOKEZA"

SHUKRANI TOKA VICTORIA FOUNDATION KWA WAFADHILI



MHESHIWA VICKY KAMATA MBUNGE WA GEITA VITI MAALUM NA MWENYEKITI WA VICTORIA FOUNDATION ANAPENDA KUTOA SHUKRANI ZAKE ZA DHATI KWA MAKAMPUNI , TAASISI NA WATU BINAFSI WALIOJITOA KWA HALI NA MALI KUISAIDIA WATOTO YATIMA NA WALEMAVU MKOA WA GEITA, MWENYEZI MUNGU AWARUDISHIE MARA MIA KWA MOYO WAO WA UPENDO.


1.      HOME SHOPPING CENTER
2.      EWURA
3.      QUALITY GROUP LIMITED
4.      TRA
5.      GEITA GOLD MINE
6.      MHESHIMIWA MARK BOMANI
7.      PPF
8.      UDF (UNITY IN DIVERSITY FOUNDATION)
9.      MKURUGENZI HALIMASHAURI YA WILAYA GEITA
10  MERY NOTMAN (KIDSCARE IRELAND)

GEITA DOCUMENTARY

Contributors