Friday 30 April 2010

USIKU WA MUUNGANO ULIKUWA HIVI IKULU






Hawa ni Wabunge watarajiwa kupitia UVCCM katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu siku ya muungano,nimetambulishwa kwao na Katibu mkuu wa UVCCM Mh Martin Shigela,na kubahatika kupiga nao picha Makada hawa wa CCM.Blog hii na mimi mwenyewe tunawapongeza kwa kudhubutu na tunawatakiwa kila la kheri katika kututetea huko mjengoni.

Monday 26 April 2010

NIC PIX......MWANAMKE KHANGA

African Supermodel Millen Magese(left) & Executive Director of the Spain-US Chamber of Commerce Bisila Bokoko(right). Bisila has never worn kanga before so you know this was absolutely a great experience for her. She loved it and Millen was such a good sporty also showing Bisila how to wear kanga the right way.

VICKY KAMATA ATUMBUIZA KATIKA HARAMBEE YA KUCHANGIA CCM

Mwenyekiti wa UWT Sophia Simba(kulia) akiwaongoza wanachama wengine wa CCM kumpongeza msanii Vicky Kamata alipotumbuiza wakati wa hafla ya kuzindua kampeni ya kukichangia Chama cha Mapinduzi kwa nia ya simu za mkononi iliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam jana jioni.Kampeni hiyo ilizinduliwa rasmi na Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete

KIKWETE APPOINTS DOUG PITT'S TANZANIA GOODWILL AMBASSADOR FOR TOURISM

President Jakaya Mrisho Kikwete welcomes Princess Astrid of Belgium in New York this morning.The Princess who was accompanied by the Executive Director of RollBack Malaria Prof. Awa Marie Coll-Seek(not in the picture,) discussed efforts to combat Malaria in Tanzania.
President Jakaya Mrisho Kikwete presents a Makonde carving to the newly appointed Tanzanian goodwill ambassador for tourism Mr.Doug Pitt during a special recognition ceremony held in New York.(photo by Freddy Maro)

SERENGETI YAJA NA PROMOSHENI MPYA

Meneja matukio na promosheni wa kampuni ya bia ya Serengeti(SBL) Bahati Singh(kushoto), akiongea na waandishi wa habari leo Dar es Salaam kuhusu promosheni ya vuna pesa na mizawadi kede- kede inayotolewa na kampuni hiyo ya SBL ambayo itaanza kesho katika viwanja vya kinondoni Biafra na Mwembe yanga Temeke, kulia ni afisa muandamizi wa SBL Imani Lwinga.


Meneja matukio na promosheni wa kampuni ya bia ya Serengeti(SBL) Bahati singh akionyesha kipeperushi cha zawadi mbalimbali kwa waandishi wa habari(hawapo picha).

BEAUTY TIPS.!!


Beauty Tips: Jinsi ya kuupa uso wako muonekano wa ngozi tight, laini na ya kuvutia. Siku ya leo beauty tips, tuna njia tatu nyepesi ambazo matokeo yake uonekana baada tu ya kutumia.Ok basi kama uko nyumbani ni vyema ukasogea jikoni kabisa ili kujiandaa kuupa uso wako ngozi changa na yenye afya kwa kipindi kifupi. Mask ya asali: Hii mask ni nzuri sana kwasababu inamoisturizering ngozi yako na ubana vishimo vya ngozi vilivyo wazi.Pia ni nzuri kwa ngozi aina zote. (za mafuta, kavu, na zilizo za wastani). Ingredients: Asali kiasi chochote cha kukutosheleza.
Jinsi ya kutumia: Paka asali kwenye sura yako hadi shingoni kama ukitaka kulinganisha uwastani wa ngozi, lakini kuwa mwangalifu isiingie machoni kwa hiyo ni vyema ukakwepa sehemu za macho.Iache kwa dakika 15 – 30,(relax), kisha osha kwa maji ya vugu vugu. Halafu malizia kuosha na maji ya baridi ili kuziba vishimo vya ngozi zilizokuwa moisturized na asali.Hii ni kwa mtu yeyote, iwe mwanamke au mwanaume wote waweza kutumia hii moisturized asilia kujipa muonekano wa'kichanga(kiupya).

HONGERA GADNA NA JIDE KWA KUDUMISHA NDOA


Lady JD na mumewe Gadna G Habash siku ya harusi yao takriba miaka saba iliyopita, hapa ni bahari Beach hotel siku hiyo muhimu katika maisha yao. Picha kwa hisani ya kaka Issa Michuzi aliyekuwa mpiga picha pekee siku hiyo.Tunawapongeza sana.

DUAL NATIONALITY: DEMYSTIFICATION OF THE REFLECTIVE DISTASTE


WALTER CHIPETA IntroductionHype and mystery have characterised the issue of dual nationality and obscured its otherwise not-so-complex nature. As a doctrine dual nationality is not just a swelling global phenomenon but also a reality of the current world. As elsewhere in the internationalized world, dual nationality – the state of simultaneous possession of two citizenship (also “dual citizenship”), is not a new topic in Tanzania and within Tanzania communities.

ANKAL MICHUZI NA MABLOG WA KIKE WAANDAMIZI


ankal Michuzi akiwa na mablogga wa kike waandamizi. Kulia ni Shamim zeze wa 8020Fashions na kushoto ni Jane John wa TBC.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors