Sunday 17 November 2013

PICHA: YALIYOJIRI KARIMJEE WAKATI WA KUAGA MWILI WA DR. SENGONDO MVUNGI JANA

  Na Steven Mruma.

Tazama picha wakati wa kuuaga mwili wa Dr. Sengondo Mvungi viwanja vya karimjee jijini Dar es salam jana ambapo viongozi mbalimbali wa serikali, vyama vya siasa, mashirika ya umma na viongozi mbalimbali wa dini walihudhuria.
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Dr. mvungi likiwekwa mahali husika kwa ajili ya kuuaga mwili wake viwanja vya karimjee

Mke wa Dr. Mvungi mwenye nguo nyeupe.
Misa takatifu ya kuaga ikiendelea

Makamu wa Rais G. Bilal akitoa salam za rambirambi

Waziri mkuu M. Pinda akiwa na M/kiti wa NCCR-Mageuzi James Mbatia
Baadhi ya viongozi waliohudhuria
Makamu wa Rais Bilal akiuaga mwili wa marehemu Dr. Mvungi

Waziri mkuu akiuaga mwili wa marehemu

Makamu wa pili wa rais Zanzibar Sharif Hamad akiuaga mwili wa marehemu Dr. mvungi
Rais mstaafu wa awamu ya tatu B. mkapa

Jaji Agustino Ramadhani

Jaji Warioba


Waziri mkuu mstaafu salim A. Salim
Mh. Shamsi V. Nahodha

Jaems Mbatia na mkwe

Steven Wasira

Mh. Mwigulu Nchemba


Prof. Lipumba
Mh. F. Mbowe

Viongozi wengine wakiendelea kutoa heshima zao za mwisho

GEITA DOCUMENTARY

Contributors