Friday 5 November 2010

MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA RAIS TANZANIA 2010

 Matokeo ya uchaguzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa.

Walio piga kura 8,626,283 – 42.84%

Kura zilizoharibika – 227,889 – 2.64%

Kura halali – 8,393,394 – 97.36%

Idadi ya kura na asilimia kwa kila chama ni kama ifuatavyo:

1. APPT Maendeleo - 96,933 – 1.12%

2. Chama Cha Mapinduzi – 5,276,827 – 61.17%

3. CHADEMA – 2,271,941 – 26.34%

4. CUF – 695,667 – 8.06%

5. NCCR Mageuzi – 26,388 – 0.31%

6. TLP – 17,482 – 0.20%

7. UPDP – 13,176 – 0.15%

GEITA DOCUMENTARY

Contributors