Thursday 24 June 2010

MAONYESHO YA ELIMU NA TAALUMA NDANI YA DIAMOND JUBILEE


Maonyesho ya ELIMU NA TAALUMA TANZANIA yameanza leo katika ukumbi wa Diamons Jubilee-DSM.


Wawakilishi wa Tanzania House Of Talent wakiwa katika picha ya pamoja katika Maonyesho ya Elimu na Taaluma Tanzania.Watembelee kupata elimu zaidi kuhusu Sanaa na Muziki wetu.

Pia tembelea banda la TANZANIA SCHOOLS COLLECTION waweze kukusaidia katika suala zima la kupata elimu bora,kwa kukupa taarifa kuhusu shule mbalimbali nchini kuanzia chekechea mpaka vyuo vikuu.


JE wewe ni mhitimu na unatafuta ajira??Basi tembelea banda la PROACTIVE EMPLOYMENT SOLUTIONS katika maonyesho ya Elimu na Taaluma Tanzania wakusaidie..

Wanafunzi wa LadyBird Pre-School wakionyesha taaluma yao ya kuchora katika Maonyesho ya Elimu na Taaluma yanayofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Dsm.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors