Friday 11 October 2013

PICHA NYINGINE: ZIARA YA KAMATI YA UCHUMI VIWANDA NA BISHARA, UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI NCHINI JAPAN.

     Tazama picha zaidi za ziara ya Mh, Vicky kamata akiwa na baadhi ya wabunge nchini Japan katika ziara ya kamati ya Uchumi, Viwanda na Biashara. waalipotembelea kujionea na kujifunza mambo mbalimbali kuhusiana na mambo ya Ki uchumi, Viwanda na biashara, Uwekezaji na uwezeshaji nchini Japan.

Kamati ya Uchumi viwanda na biashara pamoja na uongozi wa TBS wakisikiliza taarifa kutoka Japan Auto Appraisal Institute [JAAI]
Picha ya pamoja mara baada ya presentation kutoka Japan Auto Appraisal Institute [JAAI] Kutola kushto ni 1. Mr. Brown  ambaye ni katibu wa kamati, 2. Mrs. Maleko kutoka ubalozi wa Tanzania nchini Japan, 3. Msaidizi wa Mh. Mkanga, 4. Mh. Khatibu Haji, 5. M/kiti bodi ya wakurugenzi TBS, 6. Mh. Magreth Mkanga, 7. Mr. Masayki Watanabe ambaye ni General Manager JAAI, 8. Mh Vicky Kamata, 9. Mr. Hijiri, 10. Mr. Isaka ambaye ni Director wa JAAI, 11. Mr Ito ambaye ni Associate Secretary JAAI, 12. Mr. J. Masikitiko ambaye ni kaimu mkurugenzi TBS, 13. Mr Dave ambaye ni Adviser wa JAAI.
Waheshimiwa wakielekezwa  namna mbalimbali jinsi magari yanavofanyiwa ukaguzi wa ubora kabla hayajaletwa Tanzania.
Picha ya pamoja baada ya Waheshimiwa na Uongozi wa TBS kuonyeshwa Mashine na Vifaa vyote vinavyotumika kukagua magari.

PICHA PAMOJA NA MUHUDUMU ALIYEWAHUDUMIA CHAKULA CHA USIKU.
Huduma: Chakula cha usiku.
Mh. Vicky Kamata kushoto pamoja na Muhudumu aliyewahudumia Chakula cha usiku, Kulia ni Mh. Magreth Mkanga.

Thursday 10 October 2013

PICHA: MH. VICKY KAMATA AKIWA KATIKA ZIARA YA KAMATI YA UCHUMI, VIWANDA NA BIASHARA, UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI NCHINI JAPAN..

    Katika ziara hiyo ambayo imehusisha baadhi ya wabunge wa kamati hiyo ya uchumi viwanda na biashara, uwekezaji na uwezeshaji akiwemo Mh, Mgimwa ambaye ni M/kiti wa kamati hiyo na wabunge wengine ni Mh, Magreth Mkanga, Mh. Vicky Kamata na Mh. Khatibu Haji. Ikiwa ni lengo la kuweza kufahamu mambo mbalimbali ya Kiuchumi, Viwanda na biashara, uwekezaji na uwezeshaji nchini Japan.
    Katika ziara hiyo waliambatana na M/kiti mpya wa bodi ya wakurugenzi wa TBS, Kaimu mkurugenzi wa TBS, na baadhi ya wakaguzi kutoka TBS.
Kutoka kushoto ni Mh, Hatibu Haji[ Mb Cuf] Vicky Kamata na M/kiti mpya wa bodi ya wakurugenzi TBS.

Mh. Vicky Kamata na Mh. Hatibu Haji [KUSHOTO] pamoja na Kaimu mkurugenzi wa TBS[mwenye shati jeupe] na kulia ni M/kiti mpya wa bodi ya wakurugenzi TBS.
Hapa ni Hotel aliyofikia Mh. Vicky na wabunge wenzake, hotel inaitwa THE YAKOHAMA BAY HOTEL ipo Jiji la Yakohama.

Hotel waliyofikia. The yakohama bay hotel

Mdogo wa Mh Khatibu ambaye ni Mtanzania anayeishi Japan kwa biashara ya Magari,akiwa katika picha ya Mh, Vicky Kamata walipokutana katika ziara  huko nchini Japan.

Mh. Vicky Kamata akiwa na wenyeji wake akifuatilia jambo kwa makini.

Mwenyeji wao kutoka kampuni ya Jaai aliwalitoa dinner katika hotel ya THE PRINCE HOTEL,

GEITA DOCUMENTARY

Contributors