Wednesday 18 November 2015

PICHA: BAADA YA KULA KIAPO CHA UTII MH. VICKY KAMATA BAADA YA KUCHAGULIWA KUWA MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA GEITA.

Steven Mruma... Dododma

      Mh. Vicky Kamata ameapishwa rasmi na kuwa mbunge kwa kipindi cha pili kuwa mbunge wa viti maalum mkoa wa Geita..
      Baada ya kula kiapo cha utii alipata fursaya kupiga picha na watu mbalimbali akiwemo Naibu spika Dr Tulia Ackson na baadhi ya ndugu jamaa na marafiki.

ZIFUATAZO NI BAADHI YA PICHA ZA MATUKIO MARA BAADA YA KUAPISHWA.

 





GEITA DOCUMENTARY

Contributors