Monday 4 May 2015

PICHA ZA MH SAMWELI SITTA KATIKA IBADA YA KUMSHUKURU MUNGU KWA MIAKA YAKE 30 YA UTUMISHI JIMBONI URAMBO MASHARIKI NA MIAKA 47 YA NDOA YAKE.

Na Steven Mruma..

     Usipomshukuru Mungu utamshukuru nani mwingine?
Mh. Samweli na Mkewe Magreth Sitta jana walifanya sherehe fupi ya kumshukuru Mungu kwa kutimiza miaka 47 ya ndoa yao na miaka 30 ya utumishi wao katika jimbo la Urambo mashariki.
    Shukrani zingine ilikua ni pamoja na kutumikia serikali kama spika wa Bunge na Mwenyekiti wa Bunge la Katiba ambapo alifanikisha kupatikana kwa katiba inayopendekezwa..
    katika sherehe hizo zilizohudhuriwa na baadhi ya viongozi na wabunge ikiwemo Mh. Vicky Kamata aliyeimba wimbo maalum aliotunga kwa ajili ya Mh. Samweli Sitta na familia yake, ambao ndio ulikua wimbo maalum wa shukrani.. wengine waliohudhuria ni Mbunge David Kafulila na Mh. L.Lusinde, ndugu jamaa na marafiki.

YAFUATAYO NI BAADHI YA MATUKIO KATIKA PICHA YA HAFLA HIYO FUPI YA SHUKRANI.


















GEITA DOCUMENTARY

Contributors