Friday 25 March 2011

SPIKA MAKINDA ATEMBELEA SIERRELEONE

Spika Makinda akizungumza na Watanzania waishio Freetown, SierraLeone walipomkaribisha chakula cha jioni. Kulia kwake ni Emmy Musokwa Bingwa wa Uangalizi na Ufuatiliaji wa PAGE , mwingine ni Omary Mjenga Mwakilishi Mkazi wa shirika la Umoja wa Mataifa la UNOPS

Spika kwenye picha ya pamoja na baadhi ya watanznia waishio Sierra Leone

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors