Wednesday 30 March 2011

WAZIRI MKUU APOKEA ZAWADI YA PICHA TOKA WIZARA YA MAJI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya picha yake iliyochorwa kutoka kwa Naibu Waziri wa maji, Gerryson Lwange (wapili kushoto) na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Lwange Ofisni kwake jijini Dar es salaam Machi 30.2011. Zawadi hiyo imetolewa na watumishi wa Wizara ya Maji


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya watumishi wa Wizara ya Maji baada ya kukabidhiwa zawadi ya picha yake iliyochorwa, ofisini kwake jijini Dar es salaam. Kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Wizara ya Maji, Jerryson Lwange akifuatiwa na katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Sayi.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Wizara ya Maji baada ya kukabidhiwa zawadi ya picha yake iliyochorwa iliyotolewa na wafanyakazi wa Wizara hiyo, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Machi 30, 2011. Kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Jerryson Lwenge na Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Sayi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Enhanced by Zemanta

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors