Monday 28 March 2011

WASANII WA FILAMU TZ WAKUTANA KUCHANGIA FEDHA ZA CLUB YAO YA MICHEZO





Kikao hicho cha watu 50 kilichoambatana na chakula cha mchana, kilifanyika jana Nyumbani Lounge jijini Dar es Salaam.
Lengo ni kukuza mfuko wa Club pamoja na kusaidiana wao kwa wao linapotokea jambo kama kuugua, kuuguliwa, kufiwa au kufariki, Kuoa au Kuolewa kwa kati ya wanachama wa Club hiyo.

Walifanikiwa kwa masaa machache waliokutana kukusanya kiasi cha fedha za kutosha kuanzia

1 comment:

Anonymous said...

I think the admin of this website is in fact working hard for his website, because here every stuff is quality based
data.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors