Monday 28 March 2011

TUZO ZA KILI MUSIC AWARD

 Mbunge wa viti maalum CCM Mhe.Vicky Kamata akiwa na Mr Nkinga toka COSOTA wakitoa tuzo kwa mwanamuziki bora wa RnB ambaye ni Ben Po.
Mhe.Vicky Kamata akiwa tayari kukabidhi tuzo kwa mwanamuziki bora wa RnB
 
Ben Po akiwa na tabasamu zito mara baada ya kupokea tuzo ya mwanamuziki bora wa RnB.

Waigizaji maarufu nchini Raymond Kigosi (kushoto)na Steven Kanumba nao ndani ya nyumba.
Stara Thomas akiwa sambamba na mwanamuziki mkongwe wa Taarabu kutoka Zanzibar Bi.Kidude
 
Tuzo hizo zimehudhuriwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Emmanuel Nchimbi katikati akiwa pamoja na Katibu Mkuu wa BASATA Gonche Materego kulia na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) Angetile Osiah.
 
Jay Mo akiwa ametinga suti nzuri katika red carpet
Lina kutoka THT akitoa burudani
Enhanced by Zemanta

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors