Wednesday 30 March 2011

WAZIRI AZINDUA AFYA YA UZAZI NA JINSI KWA VIJANA

 Naibu Waziri wa Habari, vijana, utamaduni na michezo Mh. fenela Mukangara akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi wa haki na afya ya uzazi na jinsia kwa vijana wa miaka 10-24 uzinduzi huo ulifanyika jana makao makuu ya vijana yaliyopo Mwananyamala jijini Dar es salaam. (Picha zote na Philemon Solomon)

Naibu Waziri wa habari, vijana, utamaduni na michezo Mh.fenela Mukangara akitoa hotuba wakati wa uzinduzi wa mradi wa haki na afya ya uzazi na ujinsia kwa vijana wa miaka 10-24

Wadau kutoka sehemu mbalimbali wakifuatilia burudani iliyokuwa ikitolewa na masii wa muziki wa kizazi kipya Diamond katika uzinduzi huo.(hayupo pichani)

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors