Wednesday 6 April 2011

YALIYOJIRI BUNGENI DODOMA

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda akiingia ndani ya ukumbi wa Bunge kuongoza kikao cha kwanza cha mkutano wa tatu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma.

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda akitoa ufafanuzi kwa wabunge kuhusu kanuni za uendeshaji wa shughuli za bunge mjini Dodoma 

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda (kulia) akijadili jambo na Waziri Ofisi ya Rais ,Utawala Bora Mathias Chikawe ndani ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma.
(PICHA NA ARON MSIGWA WA MAELEZO).

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors