Tuesday 5 April 2011

UZINDUZI WA NEMBO MPYA YA VODACOM TANZANIA

 Katikati ni Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Bw. Dietlof Mare kushoto ni Mwamvita Mkamba Ofisa Mtendaji Mkuu wa Masoko na Mawasiliano Vodacom Tanzania, na Kulia ni Mkurugenzi wa Radio One na ITV Joyce Mhavile wakifuatilia kwa makini uzinduzi huo.

 Baadhi ya wafanyakzi mbalimbali wa Vodacom Tanzania pamoja na wadau wa kampuni hiyo, wakiwa katika uzinduzi huo.

Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania  Dietlof Mare, wakati alipokuwa akizungumza katika uzinduzi wa nembo mpya ya kampuni ya Vodacom ambayo ina rangi nyekundu na nyeupe, uzinduzi huo ulifanyika kwenye hoteli ya Kilimanjaro Kempinski jumapili Dar es salaam.

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors