Wednesday 6 April 2011

RAIS PAUL KAGAME WA RWANDA ATUMA UJUMBE KWA RAIS JAKAYA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mjumbe maalum wa Rais Paul Kagame wa Rwanda ambaye pia ni Waziri wa sheria na Mwanasheria mkuu wa Rwanda Bwana Tharcisse Karugama muda mfupi baada ya mjumbe huyo kuwasilisha ujumbe kwa Rais ikulu jijini Dar es Salaam kulia ni Balozi wa Rwanda nchini Tanzania Bi Fatma Ndagize (picha na Freddy Maro)

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors