Monday 24 May 2010

Monetary Affairs Committee (MAC)

Magavana wa Benki kuu za Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja nje ya ukumbi wa mikutano wa Naura Spring Hotel Arusha-Tanzania tarehe 10/05/2010.Magavana hawa walikubaliana kuingia katika mchakato wa kuwa na sera moja ya fedha ambayo itaziwezesha nchi za Afrika Mashariki kuwa na sarafu moja na hatimaye kuwa na benki kuu moja.
Magavana wa Benki kuu za Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakzi wa benki kuu ya Tanzania na wafanyakazi wa jumuiya ya Afrika Mashariki.

Ilikuwa ni burudani baada ya mkutano..

5 comments:

Anonymous said...

NATAMANI KUWA GAVANA NAAMINI SIKU MOJAS NITAKUWA AU SI NIKUSOMA BOOK KEEPING TU/

Anonymous said...

huyo dada mrembo anaitwa gavana nani tena?

Anonymous said...

dada anavutia hao wengine vicky kawabania hatujaona sura zao

Anonymous said...

dada anavutia hao wengine vicky kawabania hatujaona sura zao

Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.

GEITA DOCUMENTARY

Contributors