Wednesday 26 May 2010

Miss Inter College kufanyika leo

Baadhi ya washiriki wa shindano la kumsaka mrembo wa Vyuo, Miss Dar Inter College wakiwa katika mazoezi jana ambapo shindano hilo linatarajiwa kufanyika leo katika Ukumbi wa Billcanas Dar es Salaam leo.

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors