Friday 28 May 2010

Meli


Meli ya Jeshi la Maji la Uholanzi, Johan de Witt inayofanya msako wa maharamia katika Bahari ya Hindi, ikiwa kwenye bandari ya Dar es Salaam baada ya kukabidhi vifaa mbali mbali kwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) jana.

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors