Wednesday 3 August 2011

ANNA LUKINDO ATINGISHA JIJINI LONDON

 Model akiwa mzingoni
 Mojawapo ya design tofauti
 Model ndani ya kivazi
 Jestina kionyesha mitindo ya mavazi
 Mavazi ya Anna yalikuwa kivutio kikubwa
 Maonyesho ya mavazi yakiendelea
 Model ndani ya vazi la Anna
 Model ndani ya kivazi cha Anna
 MC akitoa matangazo
 Kutoka Kushoto ni Mariam Kilumanga, Jestina George, Anna Shelukindo na mdau wakiwa katika pozi
 Ma model wa Anna katika pozi
Mama Balozi na staff wa Ubalozi nao walikuwepo kumsupport Mtanzania mwenzao
 Model Tina,Anna,Tammy, Zulfa na rafiki wa Anna

Mtanzania mbunifu wa  mitindo ya nguo Anna Lukindo ametikisa ulimwengu wa fashion jijini london wikiendi  iliopita. Anna alionyesha mavazi aliyobuni kwenye maonyesho ya  La Geneve North Event,  yaliyofanyika London. Ubunifu wa Anna ulipokelewa kwa vifijo na nderemo kwani ulikuwa ndio uliotia fora. 

Kulikuwa na wabunifu wengine kumi lakini Anna ndio alikuwa mwafrika na Mtanzania pekee ambaye Mavazi yake yalikubalika na kupendwa na watu wengi zaidi.

 Mojawapo ya wageni na wadau mbalimbali walijjitokeza kumpa sapoti Anna ni  Mh Balozi wetu  Peter Kallaghe na Mama Balozi, Naibu Balozi Chabaka Kilumanga pamoja na watanzania wengine.

Kwa niaba ya URBAN PULSE Tunapenda Kumpongeza Dada yetu Anna Na Kumtakia  kila la kheri pamoja na Mafaniko Mema.


No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors