Wednesday 3 August 2011

MAONYESHO YA NANENANE DODOMA

 Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha Eva Varelian (kushoto) na Alice Kihiyo (kulia) wakimhudumia mteja  wakati wa maonyesho ya nane nane yanayoendelea mjini Dodoma
  Afisa Mfuko wa Hiari wa Kujiwekea akiba uzeeni (GEPF) Aziza Selemani akitoa ufafanuzi kwa mwananchi aliyetembelea banda la Wizara ya Fedha kwenye maonyesho ya wakulima ya nane nane leo mjini Dodoma.
 Afisa Uhisiano wa Mfuko wa Penseni wa PPF Edward Kyungu akitoa maelezo
kwa mwananchi katika banda la Wizara ya Fedha juu ya muhimu wa mfuko huo katika maonyesho ya wakulima ya nane nane yanayoendelea mjini Dodoma .
 Onni Sigara(katikati) na Adamu Msumule(kushoto) wakati wa maonyesho ya wakulima ya nane nane yanayoendelea mjini Dodoma.
 Afisa katika kitengo cha bajeti cha Wizara ya Fedha Adamu Msumule akitoa maelezo juu ya vipaumbele vya bajeti ya mwaka huu katika maonyesho ya wakulima ya nane nane yanayoendelea mjini Dodoma

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors