Thursday 4 August 2011

VITUO VYA MAFUTA MBEYA VYANGOMA KUUZA MAFUTA

 Vituo vya mafuta jijini Mbeya vimegoma kuuza mafuta aina zote sababu ya kupinga hatua ya EWURA kupunguza bei ya mafuta.

 Moja ya kituo cha mafuta kilichongoma kutoa huduma

Baadhi ya madereva wakigombea kununua mafuta katika moja ya kituo

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors