Monday 28 July 2014

ZIARA YA WANA CCM TAWI LA LUKILINI KATA YA KALANGALALA WALIPOTEMBELEA MAKUMBUSHO YA BABA WA TAIFA.

Na Steven Mruma [Butiama]
    Tawi la Lukilini kata ya Kalangalala mkoani Geita walitembelea makumbusho ya Baba wa Taifa na walipokelewa na tawi la wana CCM Butiama alikotokea Baba wa Taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere.
    Hii ilikua ni ziara maalum ya kujionea makumbusho ya Baba wa Taifa na kujifunza mambo mbalimbali na kubadilishana mawazo na wana CCM wa tawi la Butiama.


Wana CCM waLukilini walipotembelea makumbusho ya Baba wa Taifa na kupokelewa na wana CCM wa Butiama
Haya ni makaburi ya wazazi wa Hayati Mwl J.k. Nyerere
Histroia ya eneo hilo ikitolewa na wenyeji
Sehemu aliyopendelea kukaa baba wa Taifa
Hichi ni kiti alichokua akipenda kukikalia baba wa Taifa
Mh. Vicky akiwasha mishumaa juu ya kaburi la Hayati Bbaba wa Taifa
Mh. Vicky Kamata akitambulishwa kwenye tawi la Wana CCM Butiama walipotembelea Makumbusho ya Baba wa Tiafa

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors