Thursday 31 July 2014

PICHA:HUKU WAASISI WA VICTORIA FOUNDATION WAKILA BATA VYA KUTOSHA SIKUKUU YA IDD, VICTORIA FOUNDATION YAWAPONGEZA WAISLAMU WOTE DUNIANI KWA KUSHEHEREKEA SIKUKUU YA IDD KWA AMANI,

Na Steven Mruma [Dar es salaam]
    Jana ilikua idd pili Victoria Foundation ilitumia muda huo kuwapongeza waislamu wote duniani kwa kusheherekea sikukuu hiyo kwa amani. lakini pia haikuishia hapo waliwasihi kuendeleza yale mazuri waliyojifunza katika kipindi chote cha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. 
    Katika kumaliziamalizia sikukuu ya IDD kulifanyika part ya nguvu na Mwenyekiti wa victoria foundation akiwa na ndugu na marafiki zake walikula bata vya kutosha ya kusindikiza iddi pili.

Sehemu ya waislamu wakiswali sala ya Iddi

Bata zikiendelea siku ya Idd pili
Sifa kubwa siku ya sikukuu ni kula tu na hakika watu tulikula
Huo ulikua ni mtoko maalum wa siku ya Iddi pili

Bata zikiendelea na pia kuchat kuwatakia ndugu na jamaa na marafiki Idd Mubarak

Ilikua ni Kula na kunywa kwenda mbele

Bata zikiendelea

Kupendeza siku muhimu kama ya sikukuu lilikua na jambo la muhimu na huo ndio ulikua mtoko wa dada yetu

No comments:

GEITA DOCUMENTARY

Contributors