Tuesday 12 November 2013

TANZIA: DR. SENGONDO MVUNGI AFARIKI DUNIA AKIWA KWENYE MATIBABU AFRIKA KUSINI


 Hayati Dr. Sengondo Mvungi enzi za uhai wake

Dr. Mvungi akiwa hospitali baada ya kujeruhiwa na majambazi kabla ya kufariki mchana wa leo.
Habari kutoka afrika kusini alikopelekwa dr. Sengondo  Mvungi baada ya kujeruhiwa na majambazi walipovamia nyumbani kwake hivi karibuni kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake hasa maeneo ya kichwani.
   Hali Dr. Mvungi alibadilika na kuwa mahututi na kupelekea kupoteza maisha, tayari viongozi mbalimbali wa tume ya katiba akiwemo M/kiti wa tume hiyo Jaji J. Warioba wameshafika nyumbani kwa marehemu.

                 BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.


2 comments:

Anonymous said...

It is hard to accept help but I appreciate the help I received.
The greater the numeral number, the greater chances of cancer spreading to other body
parts. Spreading to the liver and lungs, which makes breathing difficult, and because the liver is affected, it can turn the skin yellow.


tinnitus miracle review

Anonymous said...

It's hard to find educated people on this subject, but you seem
like you know what you're talking about! Thanks

Stop by my blog: tinnitus cure

GEITA DOCUMENTARY

Contributors